Makapuku Forum

Makapuku Forum

31f3412d192dcbbabf2604af9e91a46e.jpg
 
duh! pale unapochelewa kula daku baada ya alarm kutolia usiku unakurupuka unakiona kijua cha saa moja wallah unaweza ukatafuna mkeka..pale unapotega alarm kwa masaa ya vietnam wakati wewe upo mabibo kudadeki unaweza kulipaka godoro blueband,yamenitokea leo
 
Back
Top Bottom