Makapuku Forum

Makapuku Forum

Chukua mfano:
Time ya Mahakama
S.l.p 39
Dsm

K.k
Katibu Tawala Mkia
S.l.p 50
DSM


Sasa nimekosea wapi
Anatafuta sifa yule...Mimi hizo barua nazielewa sema JF samtaimu watu wanaleta ujinga kwenye ishu serious
.......
Yaan alivo ona jina lako pale akajua ni uongo

Halaf yeye hajatoa alternative inabid iandikwe vipi

Tupa kule huyo
 
Chukua mfano:
Time ya Mahakama
S.l.p 39
Dsm

K.k
Katibu Tawala Mkia
S.l.p 50
DSM


Sasa nimekosea wapi
Anatafuta sifa yule...Mimi hizo barua nazielewa sema JF samtaimu watu wanaleta ujinga kwenye ishu serious
.......
Alikuwa atafuta kiki

Chezea kukutana na founder
 
Yaan alivo ona jina lako pale akajua ni uongo

Halaf yeye hajatoa alternative inabid iandikwe vipi

Tupa kule huyo
0a28da8da5ac8cbe0a4199bb7daf5f26.jpg
Ndo NIMEMUIGNORE JUMLA
Simjibu hata atukane tusi gani
........
 
Ktk kitu sikielewi na kuuliza sio ujinga ni hii "Makapuku Forum" naona giza totoro, msaada tafadhali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom