Makapuku Forum

Neno la leo
Deuteronomy 28: 13
13. Bwana atakufanya kuwa kichwa wala si mkia,
Nawe utakuwa juu tu wala huwi chini
Utakapo yasikiliza maagizo ya BWANA Mungu wako,nikuagizayo hivi Leo, kuyaangalia na kufanya .


Kumbe Baraka za Bwana Mungu zipo na alishatuahidi kuwa tukishika amri na kutenda NENO Lake linavyotaka tutabarikiwa.....

Basi mkishike amri na Neno la Mungu
Mbarikiwe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…