Makapuku Forum

Manii ya nguruwe yanatoka kwa awamu tatu kuu ndani ya hizo dakika:

- Awamu ya Kwanza (Pre-sperm): Majimaji ya wazi yasiyo na mbegu yanayosafisha njia.

- Awamu ya Pili (Sperm-rich): Sehemu yenye mkusanyiko mkubwa wa mbegu za kiume (hii ndio sehemu muhimu zaidi ya utungisho).

- Awamu ya Tatu (Post-sperm/Gel): Majimaji mazito kama jeli au kamasi. Kazi ya jeli hii ni kuziba mlango wa uzazi wa jike (cervix) ili kuzuia mbegu zisimwagike nje baada ya dume kushuka.
 
Kula kinyesi, japo ni tabia ya asili ila pia kunaweza kueneza minyoo na magonjwa kwa haraka kati ya nguruwe.

Kwa mfugaji Ili kuzuia au kupunguza tabia hii, hakikisha: Banda linasafishwa mara kwa mara, wanapata chakula chenye viwango sahihi vya madini na vitamini pia banda lina nafasi ya kutosha.
 
NB: Ukweli kuhusu matope: Nguruwe hawana tezi za jasho (sweat glands), hivyo hujigaragaza kwenye matope ili kupunguza joto la mwili na kujilinda na jua au wadudu.
 
Kama unasumbuliwa na ndoto hizo, jitahidi kurekebisha mtindo wa maisha (kupunguza stress), kufanya meditation, na kuepuka kutumia simu au kuangalia habari mbaya kitandani..ni baadhi ya tabia nzuri kuelekea kupata ndoto nzuri na zenye afya.
 
Sawa.
Kila la kheri kwake mzee w Siha
 
Sawa.
Kazi nzuri kwenu
 
Aiseee.
Kazi wanyo
 
Aseee.
Miaka 30🙄
Pole yake
 
Tunataka utekelezaji, Malaori yanasumbua sana
 
Aiseee.
Dogo Umetisha sana
 
Naona leo umeamua kutufukuza maimamu huku ndani.
 
Vizuri
Ila usije kuanguakia kwenye siasa za mpira za Kariakoo
 
My wetu kazi anaiweza😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…