makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,453
- 108,538
Jose mara mtoto wa kimara......tulikuwa wote hapa jukwaani yanini kuwataja kama sebene la Jose Mara!?
Hiyo saa 10 uliyomuona ndugu yangu makaveli10 , wewe ulikuwa wapi, shemegi!?
Bakari na beka....kwenye uafisa ubashiri wanasema both team to score, yaani aliyeonekana saa 10 na aliyemuona saa 10 wote ni kama ngao ya maji na ngao ya kidonge
Kuna msukuma mmoja, alikosea nambaSasa ni muda wa kujibu swali, alokupigia ni nani hadi uzuge kakosea namba?
....miaka hiyo, walikuja ukumbi wa CCM Kigamboni, sebene sio la mchezo mchezo.Jose mara mtoto wa kimara..
Nimekumbuka ule wimbo wa asha, fm akademia, aliimba poa sana mule...
Hizo enzi zetu, sebene sebene kweli......miaka hiyo, walikuja ukumbi wa CCM Kigamboni, sebene sio la mchezo mchezo.
Juzi nimemuona anatangaza tamasha la Malkia
Sisi tulishazoea. Cha muhimu tu tupate ugali wa kutosha basi.
....sogea huku karibu na kwa DJ, hili amapiano likiisha nitamwambia DJ akuiteNani yuko Super Dome hapa,UZINDUZI wa jezi ya Simba ,tupige story
Hapanaaaa! Sema ukweliπ€£π€£Kuna msukuma mmoja, alikosea namba
π€£π
π€£π€£π€£π€£π€£Sisi tulishazoea. Cha muhimu tu tupate ugali wa kutosha basi.
β‘οΈβ‘οΈβ‘οΈ Leo nimepigiwa na wrong number mbili na zote ni Wasukuma. Tena mmoja mkali huyo amewaka balaa. Namwambia "namhala okoselagΔ«namba. Εͺnene nadΔ«Masanyiwa". Jamaa amekaza tu "Biya. Δͺnamba yenΔ«yΔ« yam-Masanyiwa". Mpaka nikamkatia simu. Wasukuma ni tatizo kwa kweli ππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈ
Watakufanya nawe uwe dunduka, kimbia.Nani yuko Super Dome hapa,UZINDUZI wa jezi ya Simba ,tupige story
Pengine na wingi wao unaongeza probability. Halafu wengine ni wakali kweli hata ukijaribu kuwaelewesha kistaarabu. Bagosha!π€£π€£π€£π€£π€£
Sijajua kuna uhusiano gani wa kukosea namba na wasukuma kwakweli!
Juzi nimepigiwa na msukuma ananiambia ashapakia mbao Geita huko nimuelekeze pa kuzipeleka. Namwambia amekosea haelewiπ€£π€£
Ile lafudhi yao tu kwakweli inanifurahisha, na ubishi sasaπ€£π€£Pengine na wingi wao unaongeza probability. Halafu wengine ni wakali kweli hata ukijaribu kuwaelewesha kistaarabu. Bagosha!
Ningekuwa na namba yako kesho ningekupigia halafu nijifanye nimekosea namba. Halafu nakandamiza ile lafudhi nzito kabisa original ya huku Misungwi. Na mwisho nakurushia twenti ya kununulia ubuyu wa Oman πππIle lafudhi yao tu kwakweli inanifurahisha, na ubishi sasaπ€£π€£
π€£π€£π€£π€£π€£ wewe hauwezi kukandamiza kama wao og. Ile og tamu sana.Ningekuwa na namba yako kesho ningekupigia halafu nijifanye nimekosea namba. Halafu nakandamiza ile lafudhi nzito kabisa original ya huku Misungwi. Na mwisho nakurushia twenti ya kununulia ubuyu wa Oman πππ
Mimi ninayo zaidi ya OG. Nilishakataa kubadilika na niko proud balaa. Lete namba kesho uhakikishe ππ€£π€£π€£π€£π€£ wewe hauwezi kukandamiza kama wao og. Ile og tamu sana.
π€£π€£π€£π€£ hii nakataaaa. Ile og huna.Mimi ninayo zaidi ya OG. Nilishakataa kubadilika na niko proud balaa. Lete namba kesho uhakikishe π
Hahahaha, haya matukio ni Kwa ajiri ya kujenga network, connection na relationship,, maana ni mdau WA sokaWatakufanya nawe uwe dunduka, kimbia.
Walai tena, ππ€£Hapanaaaa! Sema ukweliπ€£π€£