Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,241
- 90,419
HahahahaEenhSasa poker umeniona wapiii mpaka unifananishe naye
HahahahaEenhSasa poker umeniona wapiii mpaka unifananishe naye
Sawa sawaShunie asante kwa magazeti, unafanya kazi iliyotukuka sana. Kuamka alfajiri mapema kuja kutupa dondoo za magazeti siyo poa. Mara yakwanza kukuona nlioneshwa na mdau mmoja kwamba huyo ndio shunie, your such a humble woman hata wanaokujua wanakusifu sana.
Shunie asante kwa magazeti, unafanya kazi iliyotukuka sana. Kuamka alfajiri mapema kuja kutupa dondoo za magazeti siyo poa. Mara yakwanza kukuona nlioneshwa na mdau mmoja kwamba huyo ndio shunie, your such a humble woman hata wanaokujua wanakusifu sana.

P ulionyeshwa wapiii au pm ukoMara ya kwanza nlionyeshwa pm na unapokaa na namba zako. Na mimi nikaamua kuingia saiti nikajionea mwenyewe namna ulivyo pisi haswa 😍P ulionyeshwa wapiii au pm uko
EenhMara ya kwanza nlionyeshwa pm na unapokaa na namba zako. Na mimi nikaamua kuingia saiti nikajionea mwenyewe namna ulivyo pisi haswa![]()


mpaka ninapokaa na no zangu em fanya unipigie sasa acha kukaa na no ya simu ya mtu bila kuitumiaSwali langu kwako nliokuuliza, je kigoma una ndugu?Eenhmpaka ninapokaa na no zangu em fanya unipigie sasa acha kukaa na no ya simu ya mtu bila kuitumia