Salama kabisa Mkuu. Niaje kwako?Ndugu wote humu ndani habarini za jioni?
Pole sana mkuu,kama vipi nunua Gongo weka kwenye chupa ya Sprite hawatajua.
Mzee Wa kigoma vip![]()
Tatizo harufu yake km mavi
........
Ukuye nikuonjeshe![]()
Sasa unatakiwa utembee na karafuu au ndizi za kuiva, nasikia zinapoteza kabisa harufu ya pombe.![]()
Tatizo harufu yake km mavi
........
Tupo Full bwana MaradonnaNdugu wote humu ndani habarini za jioni?
Iko njema sana braza. Vipi wewe?Habari ya jioni wakuu.
Me kwetu Green City but naishi Joto City......huku Bara nimekuja kimchongo tu...nikishaweka mawe mfukoni nasepaMzee Wa kigoma vip
Mambo poa kabisa brother.Iko njema sana braza. Vipi wewe?
Sawa papaa




Daah! Basi nahisi huku tulio wengi tuko busy sana, sema ndo hvyo ukipata muda unalog in Jf kama hiviYupo, majukumu tu yamembana

Sasa unatakiwa utembee na karafuu au ndizi za kuiva, nasikia zinapoteza kabisa harufu ya pombe.
Papaa...!Na kapukuz![]()
Mambo yamekuwa mengi brother.Mkuu habari
Kijana umekuwa sukarii Siku hizi