Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,231
- 464,523
HahahahahaNimekumiss pia pita pita unipe mahela basi
Hellow makapukuuuuuuuuu?!!
Nimewamic mnooooo!!!
Hahahahaha, wakuu mjue mie macho kdg sio mazuri mpk miwani ila naona hata hii miwani nayo jau .kwa magazeti haya ya leo



ngoja nifute we mzee ya leo kaliiiiHahahahaha, shangazi umetisha leongoja nifute we mzee ya leo kaliiii
Hahahahaha, ujue kila nikisoma naona content ya zamani,,nikahisi miwani inadanganyaDaaah ndio umenisanua![]()
Hahahahaha, shangazi umetisha leo

bila wewe nisingejua we mzeeNilikuwa nasubiri urudi Kazini uje unielekeze Babu yako
Nilikuwa nasubiri urudi Kazini uje unielekeze Babu yako
Maana Kwa Uzee huu nilikuwa sijaelewa kitu![]()

sijui hata nini nimevurugwa leoHahahahaha, mie huwa simsemei mtu na wala siwezi kufanya hivyo..hii nimesema kwa heshima yako tu, ila ningeweza kuacha watu waone hili boko ulilotoa,kulinda hadhi ya jukwaa / uzi
Hahahahaha, mie huwa simsemei mtu na wala siwezi kufanya hivyo..hii nimesema kwa heshima yako tu, ila ningeweza kuacha watu waone hili boko ulilotoa,kulinda hadhi ya jukwaa / uzi

wangejua wenyewe waliosoma halafu me magazeti kabla sijapost nasoma kabisa ila leo sijasoma hata mojaHahahahaha, usijari Rafiki Shangazi, imepitaMe nashukuru kwa kuniambia we mzee ila kwa mfano ingejulikana sijui kesho uko ningeacha hivyohivyoo nisingefutawangejua wenyewe waliosoma halafu me magazeti kabla sijapost nasoma kabisa ila leo sijasoma hata moja
Hivi hujui Kuna raha kukaa karibu na Mjukuu ukifundishwa namna ya kusoma magazeti 🤗Kwamba haujajua Magazeti ya mwaka janasijui hata nini nimevurugwa leo
Hivi hujui Kuna raha kukaa karibu na Mjukuu ukifundishwa namna ya kusoma magazeti![]()
