Aaah kwani ushawahi kuwa na maaana wewe sasa😂😂😂
Ujue nacheka sana..
Kuna kitu nakumbuka nacheka mwenyewe hapa..
Melo si ni mchaga yule? Nipe afu tatu nimtokee🤣🤣Ebu jaribu kunisaidia na we kwa Melo auntie
KhaaaaMelo si ni mchaga yule? Nipe afu tatu nimtokee
Oooh auntie hanipi zawadi, nakupa huitaki😳😳😳Sitakiiii baki na afumbili yako
Auntie andaaa maokoto tu ya DecOooh auntie hanipi zawadi, nakupa huitaki
Na vitenge vyangu mlikula panya nyie.
Weeeh! Kumbe nshomile!! Hapo labda niingie na gia ya kingeee🙆🙆🙆KhaaaaMelo muhaya lini amekuwa mchaga
Hii Dec imekuja ghafla sana bwana. Hebu tusubiri nyingine.Auntie andaaa maokoto tu ya Dec
Khaaah 🤣🤣🤣Winfred Mueni (28) amefikishwa katika Mahakama ya Makadara jijini Nairobi, akishtakiwa kwa mauaji ya kutokusudia baada ya mpenzi wake Titus Njoroge Kimani (30), kufariki dunia wakati wa tendo la ndoa.
Tukio hilo linadaiwa kutokea nyumbani kwa marehemu katika Mtaa wa Baba Dogo, Ruaraka, jijini humo.
Mtandao wa Taifa leo umeripoti kuwa Mueni anashtakiwa kwa kufupisha maisha ya mpenzi wake Septemba 22, 2023, ambapo inadaiwa kuwa wakiwa katika tendo ndoa, na hasa wakati Kimani anafika kileleni, alipoteza fahamu na kuanguka.
Inadaiwa kuwa kuwa Winfred alijaribu kuokoa maisha ya mpenzi wake kwa kumpeleka hospitali, hata hivyo, baada ya kufika, alielezwa kuwa Kimani amekwishafariki.
Kwa mantiki hiyo, mahakama hiyo imeelezwa kuwa Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (ODPP), inamshtaki Winfred, kwa kile kinachodaiwa kuwa ni “mtu wa mwisho kuonekana na marehemu” kabla ya kifo chake.
View attachment 2813774
Na ujipangeWeeeh! Kumbe nshomile!! Hapo labda niingie na gia ya kingeee
Kingee chenyewe hadi nile nishibe na nilewe
Hii Dec imekuja ghafla sana bwana. Hebu tusubiri nyingine.
Maki mwenyewe nimezunguka kutafuta keki ya afusaba nimekosa. Anywe tu mbege atulie.
Auntie ila wamemuonea jamani sijui ndio watampa kesi kaua bila kukusudiaKhaaah
Woooi!! Kwani jina la makapuku linawasha?Na ujipangekinge chake kile chenyewe
Kwanza nimekumbuka huu mwaka hauna disemba.Anywe mbege nyieee huyu auntie bahiliii hapana aisee Dec tunayo tunatamba nayo nikupe kabisa no ya wakala ya lipa kwa simu au utatuma kwenye no yangu Shunie ya Dec na maokoto
🤣🤣🤣🤣🤣Auntie ila wamemuonea jamani sijui ndio watampa kesi kaua bila kukusudia
Ndio niwaulize nyieWoooi!! Kwani jina la makapuku linawasha?
Mpimanage magonjwa yote tafadhali. Mie siko tayari kurithi mikoba tu. Nataka na viwanja.