Makapuku Forum

Masaa sita ni mengi sana kupumzika Jimena.
Kuna kipindi hutaweza kulala usiku wote na utakuwa poa kabisa.
Karibu sana duniani.
πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰
Kipindi gani?? Nimekuwa nikiambiwa hivyo toka niko mdogo ila mpaka sasa hali ni ile ile,
 
Tuombe uzima,
Utakuja kuthibitisha ninachokisema siku za mbeleni.
Nakazia tena. Mark my words.
πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰

Hivi, mvua zinaendela kunyesha au zimekata?
Sawa acha niwe mpole......

Mvua kwakweli sina hakika, ila maeneo niliyopo kwa sasa ni msimu wa joto japo bado halijachanganya vyema
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…