Farhan Jr
CRISTIANO RONALDO, Kylian Mbappe alitaka kusogea wakati wapo vyumbani kabla ya kuelekea uwanjani, lakini Elders of the village wakamwambia tunajua unampenda sana Cristiano lakini huu ni wasaa wa yeye kuongea na Captain wake Sergio Ramos, tunahitaji picha ya UEFA tisa kwa usiku huu hapa Mashariki ya kati.
Picha ambayo itatukumbusha the Great European nights from the best of Siberian Europe type of climate! Picha ya usiku wa Lisbon na header ya Ramos, picha ya usiku wa kutisha ndani ya Bernabeu Ronaldo anakata kamba tatu mbele ya Wolfsburg, picha ya kutisha kuanzia Allianz Arena ilipo Bayern Munich mpaka Turin ilipo Juventus! Captain alitakiwa apate muda wa kuongea na Mwanajeshi wake, true Son of the Bernabeu.
The streets be like! Ni wakati wa S2Kizzy na Diamond wa Morogoro kupata picha ya pamoja, picha ambazo hupigwa kwa merit ila sio favor! By default the steeets of Madrid are crying! Kuanzia Concha Espina mpaka Cibeles hadi Finca nyumbani kwa Ronaldo, tulifahamu siku itafika na tutaishi kwa kumbukumbu ila gone are the days! Nani anakata vitunguu basi inatosha machozi yametoka sana, picha za kuishi zaidi ya video za utupu, picha za kuishi kama Sikinde Ngoma ya Ukaye!
Am not crying but you are! Literally th ADMN is crying! Tunatamani turudishe nyuma mshale wa saa lakini hatuwezi kubadili muda na nyakati, it was the past, tunaishi kwenye leo! Asanteni kwa kumbukumbu bora, asanteni kwa ile usiku wa Ulaya yenye ladha kuliko usiku mmoja na Giggy Money ama Hamisa, thamani ya usiku ule ni kama Watoto wa Chuo na macho matatu au Mabinti wa Uswazi wakisema Kama kweli unanipenda ninunulie chips.