Makapuku Forum

TIMU ZILIZOFUZU HATUA YA MAKUNDI KLABU BINGWA AFRIKA.

Petro Atletico

Mamelodi Sundowns

Espérance Tunis

Raja CA

Zamalek SC

CR Belouizdad

Al Merreikh

Vipers SC

Al Ahly SC

JS Kabylie

Horoya AC

Wydad AC

Cotonsport FC

Al Hilal SC

Simba SC

RC Kadiogo
/AS Vita Club
 
Nyota wa Senegal na Bayern Munich, Sadio Mane ametwaa tuzo ya Socrates akiwa pia ndie mchezaji wa kwanza kubeba tuzo hiyo ambayo inahusu mchezaji anayerejesha zaidi kwa jamii yake.
 
Kinda Gavi wa Barcelona ametwaa tuzo ya Kopa ikiwa ni tuzo kwa mchezaji mdogo kwa 2022, tuzo hiyo hutolewa kwa wachezaji wenye umri chini ya miaka 21.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…