[emoji3578][emoji3578] Scandal24
FOOTBALL ECONOMY || Geita Hovyo kwa Branding [emoji419]
.
Siku moja pata nafasi uwasikilize watu wanaoizunguka Geita Gold Fc, wanavyoongelea uwekezaji wa katika mpira unaweza ukadhani wao ni Manchester City au Newcastle United. Halafu ukija kuwaona ni KAUZU FC au VIGUNDO ya Temeke Mabingwa wa #Ndondocup2021.
.
Muda tunavyoongea wapo Sudani na vyombo vya Huko vinasema Timu kubwa kutoka ukanda wa Madini nchini Tanzania ipo hapa kupambana na mwakilishi wetu. Lakini kiukweli ni timu ya Hovyo, isothamini biashara na washirika wake ma wala wao wenyewe hawajielewi wanafanya nini kwenye kitu kinaitwa BRANDING.
.
Hadi naingia mitamboni, wao ndio timu ya ligi kuu ilovaa hezi zenye #KitSupplier wote wakubwa duniani. Kwanza wao wana mkataba na #Masita lakini wamevaa jezi zenye #UhlSports, #NewBallance #Adidas na #Puma. Bila woga kwenye mechi moja wanavaa Jezi zenye Kit Supplier wawili tofauti. Bila woga George Mpole kashika Mpira wa Masita jezi ya Puma na bango masita. Wanaishi Dunia yao.
.
Sasa huwa najiuliza, kwa nini wanaogopa kuwapa vijana kazi katika vilabu vyao..? Vijana wenye exposure na uwezo wa Kufanya mambo..! Lakini hawataki kutoa mashavu na matokeo yake ni aibu kwa Taifa zima, huko wanajiuliza maswali mengi sana lakini sisi hatujali. Hao Masita wanatamani kuondoka Nchi hii maana mizengwe ya MATUSI YA KIBIASHARA haikomi. Maana wanachokifanya Geita ni kuwadharau Masita licha ya Mapungufu ya kuchelewesha Vifaa kwa MASITA.
.
Che Guevara [emoji989]
.
NB
Weka Maneno[emoji419]
.