Makapuku Forum

Khaaaa ukajua kikuu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] we na ye hamna tofauti mnayabili tu
Hello shunila/shunie nimeshiriki shindano kule stories of change uzi wangu ni huu SoC 2022 - Nimfiche wapi Binti yangu?

Ukipata muda unaweza kuupita na kulike usisahau ku-vote.

Samahani kwa usumbufu utakao jitokeza(maana nimejaribu kukufikia PM ila nimekuta kufuri)

Thanks in Advance
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aiseeee....Hebu Mwambie afanye namna basi kile kishikwambi....Ili anipatie[emoji1]
...mbona kishkwambi tulishaelewana dear, mimi wamesema hawatanilipa ila watanipa hii gadget basi nikiichukia, na ukaiona, basi hesabu ni yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…