Wapi huko dota nije nikunywe mimi🤣🤣🤣🤣🤣Huwezi amini nimekukumbuka hapa nimecheka mwenyewe. Tumefika kwenye sherehe soda na juice zimeisha; wamekuja wameturundikia Heinekens za kutosha; nikakuwaza mama Muinjili Heinekens ambavyo ungezigonga
Uzee wapi wakati tozo🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alooh nimetamani ila sijui ndio nazidi kuzeeka nikikwambia sijanywa mda unaenda mwezi wa pili huuu woiii kweli maisha yanabadilika mama mchungaji
Na wewe kumbe umo?🙆🙆Wapi huko dota nije nikunywe mimi🤣🤣🤣🤣🤣
Tumeanza kuzeeka mama Muinjili[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alooh nimetamani ila sijui ndio nazidi kuzeeka nikikwambia sijanywa mda unaenda mwezi wa pili huuu woiii kweli maisha yanabadilika mama mchungaji
Nimecheka sanaaaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimekutana na thread chit chat yaani yaani kuna mtu kacomment kuhusu makapuku eti mashangazi tumejazana tumegeuza kijiwe cha saloon hivi hata post ninazopost mtu haoni jamani yaani mwanaume unateseka na mambo ya wanawake ila jfUzee wapi wakati tozo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli mama mchungaji uzee huuTumeanza kuzeeka mama Muinjili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii comment aje aione mwenyeweYaani auntie vitu vyenye vimeshindikana ndio mimi naendana navyo[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Kuna mtu kaniambia kwa namna kichwa changu kilivyo nisije jaribu🤣🤣🤣Na wewe kumbe umo?🙆🙆
🤣🤣🤣🤣🤣Nimecheka sanaaaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimekutana na thread chit chat yaani yaani kuna mtu kacomment kuhusu makapuku eti mashangazi tumejazana tumegeuza kijiwe cha saloon hivi hata post ninazopost mtu haoni jamani yaani mwanaume unateseka na mambo ya wanawake ila jf
Huyu Zodwa ni nani?Mimi tena nikutambulishe we mwwnyewe auntie
🤔🤔🤔🤔🤔[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Auntie jamaniii kweli karma huyoooHuyu Zodwa ni nani?
Yaani [emoji1787][emoji1787][emoji1787] tozo kibokooo watu wanachukia chukia watu hovyo kweli umekuja huku ukafukuzwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Stress za tozo hizo auntie. Akuje tumsaidie kuzipunguza.
Kaazi kweli kweli.Auntie jamaniii kweli karma huyooo
Khaaaa ukajua kikuu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] we na ye hamna tofauti mnayabili tuKaazi kweli kweli.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nikikumbuka ile coment ya majinjah yaani nacheka naona sikukosea kabisaaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu Zodwa ni nani?