Makapuku Forum

Makapuku Forum

**NJE YA MADA KIDOGO**
Kutokana na kuongezeka kwa idadi kubwa ya wagonjwa walio katika hali mbaya kwenye hospitali mbalimbali hapa nchini kutokana na kuugua magonjwa yasiyokuwa na tiba na wao kuendelea kuteseka vitandani huku watu wasijue la kufanya, je, muda umefika kwa tanzania kuwa na utaratibu wa "kuua kwa huruma" kama ambavyo nchi za wazungu zinafanya? naomba maoni yako kwenye mjadala huu:

click here: Should "Mercy killing" be practiced in Tanzania?
Hii nakataa aisee
 
1eb3e8ef53b34c6cdaf50d546c1614ea.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom