KESSY ATUA DODOMA JIJI
.
Dodoma Jiji haijamaliza usajili, kwani imeendelea kukusanya kijiji kwa kumbeba, Hassan Kessy aliyekuwa KMC.
.
Usajili wa nyota huyu unafanya idadi mpya ya wachezaji wapya kwa timu hiyo kufikia 12 baada ya usajili wa awali wa wachezaji 11, huku idadi ikitarajiwa kuongezeka wakati wowote.
.
Mchezaji huyo anaungana na Daniel Mgore, Jimmy Shoji, Amaan Kyata, Christian Zigah, Collins Opare, Hassan Mwaterema, Paul Peter, Rashid Chambo, Randy Bangala, Mwana Kibuta na Salum Kihimbwa.