Makapuku Forum

.....karibu sana, utanisaidie nikukesheshe halafu mchana unalala. Ulinzi sio jambo rahisi sema tu zama za inflation na shrinkflation kazi ni kazi, unaishika na kuikumbatia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka!!!

Mbona kunikesheshe[emoji1787]....Ni sawa tu.. Tutakesha...Hakuna shida.
 
Asante binamu yangu na kwako pia
 
Hahahaha binamu tunaongea me na wewe
...sawa lakini nimebadilika siku hizi, huoni ninajisogeza kwa Maki, sasa akijua kuhusu hilo anko alilokuwa ananisingizia nitaonekana siko makini kabisa.
Mwenzako nimepanga nikija Daslamu niende nikatembee pale kwenye daraja la Tanzanite nikapige picha na nimemwomba Makiwendo achukue mapumziko anipeleke darajani afu tunachangia bajaji inatupeleka Kitambaa cheupe
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umenichekesha Obe....

Darajani ilo usiwaze....nitakupeleka sehemu nyingine na nyingine...

Shunie naye atakuwepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…