Makapuku Forum

Makapuku Forum

Team Short hair...

Auntie ukiona hizi zangu kitu nimezifanya saa hii[emoji119] Cutting Master Mungu Amuweke[emoji23]
Eenh natamani kuziona auntie fanya unitumie picha [emoji847] me nilitoa blond bwana acha nibaki hivi kwanza baade sijui nitaweka rangi gani huku shem wako hataki mambo ya rangi kichwani
 
Vyote kama nini hapo jamani vingi ni vitu vya kichwani nywele zangu ni natural pembeni ni perfume ebu niambie kipi nikuelezee halafu sijafuta pic ngoja nifute
Mie hata ukinielezea unafikiri nitaelewa mama wengine mambo ya kutunza natural hair tunayajulia wapi ikiwa kuchana tu nywele ni hadi mizimu ya mababu ikae kikao
 
Emu tuone [emoji12]

Sijawahi kwenda kwa cutting Master, naona tu posts zake Ig… anajua sana kuwapendezesha watu
Kuona ndiyo kipengele sasa[emoji28]
Ngoja tuone one...

Cutting Master anajua mno yule Mtu...
Kwanza ana Customer care nzuri sana

Nina kijana wangu pale Sulle...Anajua kukitendea haki hiki kichwa...
 
Eenh natamani kuziona auntie fanya unitumie picha [emoji847] me nilitoa blond bwana acha nibaki hivi kwanza baade sijui nitaweka rangi gani huku shem wako hataki mambo ya rangi kichwani
Nakutumia Auntie....Chek muda siyo mrefu....
Au tufanye ile mida yetu?[emoji28]

Shem naye jamani....Itabidi apende tu...
 
Back
Top Bottom