Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,192
- 35,370
Dhambi zangu zinakutosha[emoji28]Ukufwe na urithi hujaniachia [emoji15][emoji15]
Hebu kuwa serious.
Dhambi zangu zinakutosha[emoji28]Ukufwe na urithi hujaniachia [emoji15][emoji15]
Hebu kuwa serious.
Asubutuuuu!! Uzuri hizo unakwenda kupambana nazo motoni. Utachomeka hadi ukome.Dhambi zangu zinakutosha[emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Asubutuuuu!! Uzuri hizo unakwenda kupambana nazo motoni. Utachomeka hadi ukome.
Na madeni yangu unilipe.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nitakuwa nimefanya sala ya Toba tayari..
Ukibahatisha mtumba hujutii auntieUlibahatisha Auntie
Ila mtumba ukiupata.....Wueeeh!!!...Mwenyewe unaweza usiamini kama ni mtumba...
Mimi nina yangu nilijipatiaga Ilala huko....Yananifaa sana...Kwa nyakati za matukio.
Kujia nyumbani[emoji1787]Na madeni yangu unilipe.
KhaaaNimefunga auntie.
Kabisa Auntie wangu...Ukibahatisha mtumba hujutii auntie
Vyote kama nini hapo jamani vingi ni vitu vya kichwani nywele zangu ni natural pembeni ni perfume ebu niambie kipi nikuelezee halafu sijafuta pic ngoja nifuteHivi hivyo vyote huwa mnapakaa kwenye nini
Nimeshajitetea soma mamaJamani [emoji1787][emoji1787]
Akija kujitetea nitarudi kusoma
Unapenda vitu vizuri we mzeehahahahahaha,nipo napitwaje na vitu vzr ?
Ukifuta weka nyingine 😉Vyote kama nini hapo jamani vingi ni vitu vya kichwani nywele zangu ni natural pembeni ni perfume ebu niambie kipi nikuelezee halafu sijafuta pic ngoja nifute
Sijaona make up kit au ni team nachuroVyote kama nini hapo jamani vingi ni vitu vya kichwani nywele zangu ni natural pembeni ni perfume ebu niambie kipi nikuelezee halafu sijafuta pic ngoja nifute
Sio mpenzi wa make up kabisa nywele zangu ni short huwa zikirefuka naenda saloon kuzipunguzaSijaona make up kit au ni team nachuro
Nywele yako ni natural kabisa? Ni short hair au..
Team Short hair...Sio mpenzi wa make up kabisa nywele zangu ni short huwa zikirefuka naenda saloon kuzipunguza
Hapo kwenye kuweka nyingine sasa siku nikiamua dear sio leo wala keshoUkifuta weka nyingine [emoji6]