Makapuku Forum


Msione kimya....na endelea kufanya upuuzi wa KITWANGA hadi majogoo

........
POMBE AMTWANGA KITWANGA BAADA YA KITWANGA KUTWANGA POMBE...

Eti Kitwanga katwangwa na Pombe baada ya Pombe kumtwanga Kitwanga wakati kitwanga alipokuwa anatwangwa maswali Bungeni. Akitwanga swali alilotwangwa bungeni, kitwanga alijikuta akitwanga majibu yaliyotwangwa na pombe kitendo kilichopelekea Pombe kumtwanga kitwanga. Kwa mantiki hiyo kitwanga ataendelea kutwanga Pombe nje ya utawala wa Pombe. Wachambuzi wa maswala ya saikolojia wanasema Pombe si rafiki wa kuamiana naye. Sasa swali la kujiuliaa hapa ni Je Kitwanga asinge twanga pombe je Pombe angemtwanga kitwanga. Je, ni nani mbaya,Je ni Pombe alivyomtwanga kitwanga au kitwanga alivyotwanga Pombe..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…