Makapuku Forum

Makapuku Forum

Depal na wenzio mnavijua hiviii[emoji1787][emoji1787] au nikuwekee na picha kabisa [emoji1787][emoji1787] wahenga wenzangu tunavijua
Screenshot_20220623-214927_Instagram%20Lite.jpg
 
"Gunia la mkaa kutoka kwa mtu anayekata mkaa ni elfu 10, ikija huku sokoni ni elfu 80, hawa wananchi wataweza? maisha ni magumu sana, ningeomba na sisi wabunge tupewe laki moja na hamsini tukakae mbagala mwezi mmoja na watoto wanne tuone kama tutaweza" - Jumanne Kishimba
Wangekuwa wanapewa hizo laki na nusu hata yeye asingegombea ubunge.
 
Back
Top Bottom