Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,011
- 31,798
Shida nini mamamitoKiasi mpenzi.
Hujambo wewe?
Niko salama kabisa
Shida nini mamamitoKiasi mpenzi.
Hujambo wewe?
Nagonjeka.Shida nini mamamito
Niko salama kabisa
Yupo mzima kabisaDuuuh huyu mtu yupo kweli au alibadili jina
Penzi badoo changaa tunashikiana simuKwahiyo kikuu ndio umeachiwa 🙆🙆🙆🙆
Bhasiii nikajuaa umenizunguka kama kawaida yako...Anko, ndugu yako niko salama, zile habari sio za kweli, siku ile sikwenda ilikuwa ni kutaka tu aanzishe maongezi na wewe.
Penzi lako na nani?Penzi badoo changaa tunashikiana simu
🤣🤣🤣🤣🤣Penzi lako na nani?
...hapana, sijafanya hivyo anko, nilijaribu kuingia na gia ya ulokole nikakosea nikaenda nimevaa kanzu na barghashia afu nikajisahau nikanywa bia ila nikakataa kula mdudu, sijaaminika sababu ya wewe ulivyomfanyia mdogo wakeBhasiii nikajuaa umenizunguka kama kawaida yako...
Kisa chote mdogo mtu alinambiaaa🤣🤣🤣🤣🤣,,,ankoo shikamoooooo kwani kule kwenye baridi ulijua kuna uwezekano wa kulala peke yakoo?...hapana, sijafanya hivyo anko, nilijaribu kuingia na gia ya ulokole nikakosea nikaenda nimevaa kanzu na barghashia afu nikajisahau nikanywa bia ila nikakataa kula mdudu, sijaaminika sababu ya wewe ulivyomfanyia mdogo wake
Sema huyu mzee wachache uwa wanamuelewaa"Gunia la mkaa kutoka kwa mtu anayekata mkaa ni elfu 10, ikija huku sokoni ni elfu 80, hawa wananchi wataweza? maisha ni magumu sana, ningeomba na sisi wabunge tupewe laki moja na hamsini tukakae mbagala mwezi mmoja na watoto wanne tuone kama tutaweza" - Jumanne Kishimba
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Labda kwa wasiomjuaHahaha yaani bora na wewe useme mwaya maana kanavyojilalamisha hapa utasema kamtu vile
Auntie bwana labda yupo na mbebi wake huko [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Penzi lako na nani?
Labda umwambiee wewe🤣🤣🤣🤣🤣Auntie bwana labda yupo na mbebi wake huko [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio nimemwambia penzi jipya tamu bwanaLabda umwambiee wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣 sema ukweliiiiiNdio nimemwambia penzi jipya tamu bwana