Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,841
- 183,075
Na msambaratike tu, mnaninyanyasa sana.Usituache bana jamani ujue ukiondoka wewe familia nzima imesambaratika
Na msambaratike tu, mnaninyanyasa sana.Usituache bana jamani ujue ukiondoka wewe familia nzima imesambaratika
Mwee hadi mimiNa msambaratike tu, mnaninyanyasa sana.
Ndiooooo.Mwee hadi mimi
...bantering mode activated: ufaulu mzuri ni nini? Ufaulu ni ufaulu, ufaulu mzuri kama maza alimaanisha madaraja sawa lakini kwani anashindwa nini kuwafanya wale wote wenye madaraja ya kwanza ya ufaulu kuwapeleka kuwa walimu?Kama wataanza kuchukua waliofaulu vizuri tu basi na waanze kuwalipa vizuri sasa hakuna visingizio tena
...hapo chini kwenye profile yake anasema ain't yo mamaUsituache bana jamani ujue ukiondoka wewe familia nzima imesambaratika
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...hapo chini kwenye profile yake anasema ain't yo mama
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Sure...bantering mode activated: ufaulu mzuri ni nini? Ufaulu ni ufaulu, ufaulu mzuri kama maza alimaanisha madaraja sawa lakini kwani anashindwa nini kuwafanya wale wote wenye madaraja ya kwanza ya ufaulu kuwapeleka kuwa walimu?
Maana yangu, wote wenye division wani kali na zile 4.5-5 gpa (kama zipo) basi wapelekwe kuwa walimu.
Hahaa akili zake anazijua mwenyewe...hapo chini kwenye profile yake anasema ain't yo mama
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Hatujambo hofu kwakoWapendwa katika Bwana....
Hamjambo?
....binafsi sijambo, nisimjibie mtu, asubuhi hii huwezi kujua kaamkia wapi.Wapendwa katika Bwana....
Hamjambo?
Nami niko poa sana...Hatujambo hofu kwako
Ahsante Obe......binafsi sijambo, nisimjibie mtu, asubuhi hii huwezi kujua kaamkia wapi.
Asante kwa salam na nikutakie siku njema my dear [emoji3589]
Mi mzima alhamdulillahNami niko poa sana...
Wewe?
Ninalo jambo.Wapendwa katika Bwana....
Hamjambo?
Hatujambo