Hapendi jina la makapuku anasema ye sio kapuku tunamuelewesha hili jina tu hataki
Aiseee!! Kumbe lilikuwa la shari shari hivyo
Nimesoma comments za mwanzo ni as if lilianzishwa kwa hasira. Mtoa mada sijui nini kilimkuta
Kuna watu wanaichukulia jf serious sana
kumbe kwenye ule uzi wa mshana ulikuwa watupia za uongo eenh
Ibra87 alikuwa kinara, ilikuwa bifu sijui za nini...Mungu amlaze palipo pema huyu mwamba!!Aiseee!! Kumbe lilikuwa la shari shari hivyo
Nimesoma comments za mwanzo ni as if lilianzishwa kwa hasira. Mtoa mada sijui nini kilimkuta
Kuna watu wanaichukulia jf serious sana
sitaki hilo jina na silipendi hata kidogo! Nikiitwa tena siitiki...hahaha
Ameen apumzike kwa amaniIbra87 alikuwa kinara, ilikuwa bifu sijui za nini...Mungu amlaze palipo pema huyu mwamba!!
Bora nikasome kimasihara au nipitie zile picha na wadada wakali sanaWe mzee huwa unanifurahisha sana
Yaani hizo comments nimechokaIbra87 alikuwa kinara, ilikuwa bifu sijui za nini...Mungu amlaze palipo pema huyu mwamba!!
Eti "makapuku" haki hili jina mods walibadili. Its not welcoming at all.Bora nikasome kimasihara au nipitie zile picha na wadada wakali sana
Japo nikiitwa napitia dondoo zako, uko njema binti wa kisambaa!
Nilikuwa naziba sura
Eti "makapuku" haki hili jina mods walibadili. Its not welcoming at all.
Mkwe kumbe una kabinti kengine...
Vile mahari yangu ilikuwa kubwa sana, ungenipa haka kabinti kama nyongeza
Halafu huyu ni yule anabaki na mama nyumbani kulea wazazi. She is too precious kuja kukutana na nyie vibaka.Mkwe kumbe una kabinti kengine...
Vile mahari yangu ilikuwa kubwa sana, ungenipa haka kabinti kama nyongeza
Akuuuu, mwenyewe
Bangi unayovuta inatakiwa ipimwe.
Mahari gani uliwahi kutoa wewe?
Halafu huyu ni yule anabaki na mama nyumbani kulea wazazi. She is too precious kuja kukutana na nyie vibaka.