Makapuku Forum

Baada ya filamu ya Royal Tour kuzinduliwa katika miji ya New York na Los Angeles Marekani, gari lililoonekana likiendeshwa na Rais Samia Suluhu Hassan katika filamu hiyo, limekuwa kivutio kipya cha utalii katika Hifadhi ya Serengeti.

Gari hilo aina ya Toyota Land Cruiser Hardtop lililoongezwa ukubwa kwa ajili ya shughuli za kitalii, Samia alionekana akiliendesha akiwa na mtayarishaji wa filamu hiyo, Peter Greenberg.

Kwa mujibu wa tovuti ya Toyota, aina hiyo ya gari kwa sasa inauzwa Sh198.9 milioni.

Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (Tanapa) imeliarifu Mwananchi kuwa, baada ya uzinduzi wa filamu hiyo watalii wa ndani na nje waliotembelea hifadhi ya Serengeti wamehamasika kuliona.
 
Mungu wabariki Orlando.
 
Ametoa kauli ya kimchezo kama mwalimu mkuu
 
Kauli zao za kipuuzi kweli kila mtu anasema imeharibiwa nan aliharibu kama sio wao
 
Duuuh
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…