Makapuku Forum

Hakuna tabu.. Kiukweli bitoz nyangema hata sijui kahamia mtaa gani, kimya saana.

Wabarikiwe woote ambao wanauendeleza huu mji wa makapuku, wazawa, wageni, wapangaji, wafanyabiashara nakadhalika woote wabarikiwe bila wao huu mtaa ungepotea.
 
Mtaani kwetu uswahilini, ukiingiza demu saa 7 usiku asubuhi kila mtu habari anazo, sasa uibiwe visempele vyako kauka nikuvae umeanika saa 7 mchana watu wanaiba na kila mtu anakwambia "mi sijui" [emoji23]
Unajua majirani zetu ndio wanao tufwatilia kuliko hata wewe unavyo jiweka

Na wizi mwizi wa kwanza ni jirani yako
 
Ngija mtu ajichanganye kunisapraizi nikamsapraizishe mahakamani.

Mafuta yaishapanda bei, maisha magumu watu wanataka pesa rahisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…