Hapa sina Maswali kabisa Auntie..
Nimelimiss pilauuuila Lee
Mapenzi ni kuvumiliana Shem wangu..Nampendaaa sana huyu kiumbee anajuaa sema tu ukivurugee wangu sijui huwa tunachezewaa tuvurugane
Hahahahahahaha ndo ukaniuliza kifuatacho baada ya massageKwakweli tena ukiwa unanifanyia massage
Hata siyo huyo.Au mlinzi wetu shadede
Auntie yangu harusi tunayo eenh
Hilo kwelii
Oyeeee auntieAuntie!!!
Twendeni taratibu.. huu mwaka unaweza kuwa na mambo mengi sana.
Makapuku Oyeeeee
Sent using Jamii Forums mobile app
KaribuuuHata siyo huyo.
Kitambo kidogo.
Nilikuwepo enzi za kina Jimmena,Bitoz,Jonax and Co.
Kwakweli kutulia ngumu ila kama unakujaaa unakataaaaaTulia kwanza
kwahiyo auntie utu inanihusu mimi si etiii
Hahahaha yaani kama namuona
Hahahahaha hawez sakayo anavonipendaa ...Chizi wewe
Kwakweli kutulia ngumu ila kama unakujaaa unakataaaaa
Yaani anakujaaa anakataaaAu mlinzi wetu shadede
Swali zuri...Mweeh
Ulikuwa unaitwa nani mwanzo mkuu
Hapa sina Maswali kabisa Auntie..
Ila kuna mambo kila dakika yananifanya nacheka jamani...Acha watu Wa'enjoy..
Sent using Jamii Forums mobile app