Pape Ousmane Sakho:
.
“Nimejisikia mwenye amani na furaha kufunga katika mechi iliyopita na natamani kuendelea kufanya hivi zaidi. Nafanya mazoezi yangu binafsi mengi zaidi sasa baada ya yale ya timu ili kuimarika na kufikia kile ninachotaka kufanya,”