Shunie Heineken zitakua kichwani saa hiziShunie binti mkarimu [emoji847] binti mnyenyekevu [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Hhahahha na huu ndio ukweli dada
Nakuelewa ndugu yangu.Hhahahha na huu ndio ukweli dada
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakuelewa ndugu yangu.
Wameanza sasa pressYANGA KUFANYA MKUTANO NA WAANDISHI LEO [emoji599]
.
Viongozi wa Yanga wamesema kuwa watafanya mkutano mwingine tena leo Jumatano na waandishi wa habari kuanzia saa 6:00 mchana.
.
Unadhani wana jambo gani __!![emoji102]View attachment 2113657