ASEC Mimosas kutoka Abidjan wanashikilia rekodi ya dunia ya mechi 108 mfululizo bila kufungwa kwenye ligi ya ndani kwa ngazi ya juu mnamo mwaka 1990, 1991, 1992 na 1993.
Rekodi ya timu hiyo ilikuja kuvunjwa kwa kupoteza 2-1 dhidi ya SO Armee tarehe 19 Juni 1994.
Msimu huu katika ligi yao wamecheza mechi saba bila kupoteza hata mmoja wakijikusanyia pointi 21 wakiwa kileleni.
Mshambuliaji wa Manchester United, Cristiano Ronaldo amecheza michezo mitano bila kufunga bao hata moja mara ya mwisho kufanya hivyo ni 2010 akiwa na Real Madrid.
.
Viongozi wa Yanga wamesema kuwa watafanya mkutano mwingine tena leo Jumatano na waandishi wa habari kuanzia saa 6:00 mchana.
.
Unadhani wana jambo gani __!!
NABI: HUYU NKANE AKIJIONA STAA ATAPOTEA
.
Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema kwamba winga wake mpya, Denis Nkane mbali na kuwa majeruhi kuna shida ameigundua na tayari amekutana naye na kumwambia
.
“Napenda kufanya kazi na vijana, unajua vijana wana nguvu, najua anamaumivu lakini bado sijaridhika na mwanzo wake katika timu, alianza vizuri lakini baada ya kufunga kule Zanzibar kuna aina ya maisha ya kuridhika yamemuingia akilini, hii sio nzuri kwake nimemwambia yeye (Nkane) bado ni mchezaji mchanga asidhani ni staa mkubwa.” Amesema Nabi na kuongeza:
.
“Yanga imemuamini kuja hapa, anachotakiwa ni kutihibitisha kwamba sisi makocha hatukukosea kumleta hapa, anatakiwa kupigania namba kwa nguvu na sio kuwa wa kawaida tena.”
.
Viongozi wa Yanga wamesema kuwa watafanya mkutano mwingine tena leo Jumatano na waandishi wa habari kuanzia saa 6:00 mchana.
.
Unadhani wana jambo gani __!!