Hapa sawa...“Kuhusu chanjo dhidi ya Covid 19, Kamati inashauri Serikali kupitia vyombo vyake iendelee na hatua kuelekea kuruhusu matumizi huru ya chanjo dhidi ya Covid 19 kwa kutumia chanjo zilizoorodheshwa na WHO ili kuwapa fursa ya kinga Wananchi wake”———Mapendekezo ya Kamati ya Tathmini ya Corona iliyoundwa na Rais Samia
“Kupitia uchambuzi wa Kamati, chanjo za Covid- 19 (zilizoorodheshwa na WHO) zina ufanisi na usalama unaokubalika Kisayansi, kipaumbele cha utoaji wa chanjo kiwe kwa Wahudumu wa vituo vya kutolea huduma za afya na Watumishi walio mstari wa mbele wa utoaji wa huduma mathalani Watumishi wa Sekta ya Utalii, Hoteli, Mipakani, Viongozi wa Dini na Mahujaji, Wazee, Watu wazima kuanzia miaka 50 na wenye maradhi sugu”———Kamati ya Tathmini ya Corona
View attachment 1788634
“Serikali iendelee kuzingatia mazingira ya Kitanzania katika udhibiti wa Covid 19 katika kuamua kuweka au kutoweka shuruti ya kujifungia (lockdown) na kuwa na ubunifu ili kuruhusu ukuaji wa uchumi na kuimarisha sekta zinazochangia uchumi”———Mapendeezo ya Kamati ya Tathimini ya Corona iliyoundwa na Rais SamiaView attachment 1788654
Hapo ndio mtamkumbuka jiwe kama alivyowaambiaHatutaki lockdown...
HahahhaaHapa sawa...
Mimi binafsi sitochanjwa...
We mzee mbona umekuwa adimu hiviNawasalimu wote nawakumbuka sana
Dhaaaa Acha na mm nimsukumie
Popote ulipo ikufikie babe wangu mimi apakiboko yangu
Acha nikupende tu hakuna namna babe
Msukumie tu usser hakuna namna ingine mapenzi tumeumbiwa sisiDhaaaa Acha na mm nimsukumie
My wangu Tu sina namna
Na tukifkia kuuumia tunaumia kweli kweliMsukumie tu usser hakuna namna ingine mapenzi tumeumbiwa sisi
Kwa wakati ujao sijali kitu Mungu kaumba kusahau utaumia na utasahau na maisha mengine yanaendeleaNa tukifkia kuuumia tunaumia kweli kweli
Ila si Kwa WAKATI huu
Ameeeeeeen sina la kuongeza umemalizaKwa wakati ujao sijali kitu Mungu kaumba kusahau utaumia na utasahau na maisha mengine yanaendelea
Naangalia wakati huu naangalia furaha ninayopatana mapenzi ninayopata kwa mpenzi wangu na kila kitu chetu kinachotupa amani na furaha