Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Hivi unawezaje kuwa
Yanga= vyura yeboyebo
Man u = Mashetani
Madrid= yangeyange
Arsenal = Arse8
Liverpool = liverfool
Chelsea = Yokobus
Raha ya pekee ni kuwa Barcelona![]()
![]()
Umbea FC
.............
HahahahaUmevurugwa na nani vile?![]()
Huyo mamluki keshahamia Azam
![]()
![]()
![]()
![]()
............
sio kidogo kwanza mm najiulizaga unawezaje kuwa Chura Fc![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Uko chura fc mkuu ndo umechemka kwel kwel
chura fc=simba fcsio kidogo kwanza mm najiulizaga unawezaje kuwa Chura Fc
sio kidogo kwanza mm najiulizaga unawezaje kuwa Chura Fc
![]()
Mlikula rambirambi ndo LAANA
Me huyu mtu na Okwi niliwakubali sn
......
Okwi na Mafisango walihusika kwenye 5:0Chura fc=wekundu wa msmbz ndo uyoooo
Kweli mkuu nakumbuka hadi Kaseja alifunga.....kutesa kwa zamu bhana![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Okwi na Mafisango walihusika kwenye 5:0
HawaelewiiiChura fc=wekundu wa msmbz ndo uyoooo
PNC 1