Nigendako JF-Expert Member Joined Dec 1, 2017 Posts 23,296 Reaction score 122,440 Jan 12, 2021 #384,921 Shunie said: Hahahaha nilitaka nishangae usikazie kuhusu chama la wana Kwahiyo mnaovuta weed ndio inavyokuwa hivyo baba wawili Click to expand... Hahahah inakuwa na zaidi shunie
Shunie said: Hahahaha nilitaka nishangae usikazie kuhusu chama la wana Kwahiyo mnaovuta weed ndio inavyokuwa hivyo baba wawili Click to expand... Hahahah inakuwa na zaidi shunie
Nigendako JF-Expert Member Joined Dec 1, 2017 Posts 23,296 Reaction score 122,440 Jan 12, 2021 #384,922 Shunie said: Hahaha msipingane na tafiti mvae vyote ili mvutie Click to expand... Hahahaha wanazingua
Shunie said: Hahaha msipingane na tafiti mvae vyote ili mvutie Click to expand... Hahahaha wanazingua
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,047 Jan 12, 2021 #384,923 Nigendako said: Hahahah inakuwa na zaidi shunie Click to expand... He he eti inakuwa na zaidi ni nini hiyo sasa baba wawili
Nigendako said: Hahahah inakuwa na zaidi shunie Click to expand... He he eti inakuwa na zaidi ni nini hiyo sasa baba wawili
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,047 Jan 12, 2021 #384,924 Nigendako said: Hahahaha wanazingua Click to expand... We vaa tu wakisema chochote kinavutia vaa
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,208 Reaction score 770,369 Jan 12, 2021 #384,925 Heri ya sikukuu ndugu zangu
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,208 Reaction score 770,369 Jan 12, 2021 #384,926 Tarehe kama ya leo miaka 56 iliyopita, 1964, Wazanzibar wakiongozwa Abeid Aman Karume walimuondoa madarakani Sultan aliyekuwa anatawala visiwa hivyo
Tarehe kama ya leo miaka 56 iliyopita, 1964, Wazanzibar wakiongozwa Abeid Aman Karume walimuondoa madarakani Sultan aliyekuwa anatawala visiwa hivyo
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,208 Reaction score 770,369 Jan 12, 2021 #384,927 Sultan Jamshid amepinduliwa na wana mapinduzi wa kiafrika waliokuwa na kiu ya kujitawala na hivyo kusitisha madaraka ya kisultan katika visiwa hivyo
Sultan Jamshid amepinduliwa na wana mapinduzi wa kiafrika waliokuwa na kiu ya kujitawala na hivyo kusitisha madaraka ya kisultan katika visiwa hivyo
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,208 Reaction score 770,369 Jan 12, 2021 #384,928 Sultan sir Jamshid bin Abdullah al Said ndiye mtawala wa mwisho kutoka kwenye himaya hiyo iliyokuwa ikitawala Zanzibar tangia mwaka 1804
Sultan sir Jamshid bin Abdullah al Said ndiye mtawala wa mwisho kutoka kwenye himaya hiyo iliyokuwa ikitawala Zanzibar tangia mwaka 1804
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,208 Reaction score 770,369 Jan 12, 2021 #384,929 Karibuni
Beeb JF-Expert Member Joined Aug 18, 2018 Posts 29,393 Reaction score 59,137 Jan 12, 2021 #384,930 moudgulf said: KaribuniView attachment 1675568 Click to expand... Hizo prawns?😋
Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,001 Reaction score 150,526 Jan 12, 2021 #384,931 moudgulf said: Heri ya sikukuu ndugu zangu Click to expand... Nzurii mkuu uko vip
Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,001 Reaction score 150,526 Jan 12, 2021 #384,932 Cylia said: Hizo prawns?😋 Click to expand... Baby
Beeb JF-Expert Member Joined Aug 18, 2018 Posts 29,393 Reaction score 59,137 Jan 12, 2021 #384,933 Lee said: Baby Click to expand... Abee
Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,001 Reaction score 150,526 Jan 12, 2021 #384,934 moudgulf said: Sultana Jamshid ndiye mtawala wa mwisho kutoka kwenye himaya hiyo iliyokuwa ikitawala Zanzibar tangia mwaka 1804View attachment 1675567 Click to expand... Asante kwa info
moudgulf said: Sultana Jamshid ndiye mtawala wa mwisho kutoka kwenye himaya hiyo iliyokuwa ikitawala Zanzibar tangia mwaka 1804View attachment 1675567 Click to expand... Asante kwa info
Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,001 Reaction score 150,526 Jan 12, 2021 #384,935 Cylia said: Abee Click to expand... Nimekumis ujue
Beeb JF-Expert Member Joined Aug 18, 2018 Posts 29,393 Reaction score 59,137 Jan 12, 2021 #384,936 Lee said: Nimekumis ujue Click to expand... Nimekumis pia.. Baridiii
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,208 Reaction score 770,369 Jan 12, 2021 #384,937 Cylia said: Hizo prawns? Click to expand... Ndiyo mkuu karibu
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,208 Reaction score 770,369 Jan 12, 2021 #384,938 Lee said: Nzurii mkuu uko vip Click to expand... Huku shwari na kuna kimvua furani kinakata joto
Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,001 Reaction score 150,526 Jan 12, 2021 #384,939 Cylia said: Nimekumis pia.. Baridiii Click to expand... Pole mpenz...soon nafika kukupa joto joto
Beeb JF-Expert Member Joined Aug 18, 2018 Posts 29,393 Reaction score 59,137 Jan 12, 2021 #384,940 moudgulf said: Ndiyo mkuu karibu Click to expand... Ahsante sana Zavutia mnoo😋