Makapuku Forum

Tarehe kama ya leo miaka 56 iliyopita,
1964, Wazanzibar wakiongozwa Abeid Aman Karume walimuondoa madarakani Sultan aliyekuwa anatawala visiwa hivyo
 
Sultan Jamshid amepinduliwa na wana mapinduzi wa kiafrika waliokuwa na kiu ya kujitawala na hivyo kusitisha madaraka ya kisultan katika visiwa hivyo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…