Makapuku Forum

hivi ni mimi kweli na ile car wash ya pembeni si ndio ilikusogeza karibu na hapo ukipeleka gari pale unaenda kupumzika hapo
Mkuu wacha uongoo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kumbuka vizuri sehem yetu pendwa yenye historia hapa maji madogo hapa fanta

Kipindi hicho ata baiskeli sinaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Leo nimeamuliwa ila ujue una maksudi siwezi ongea hapa kwa hapa nikae kimya na kucheka tu

Nitakuja ongea WhatsApp
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mnyonge mnyongeni na mm hapa ndo angalau natuliza yaliyo moyoni....
Unasahau mapema πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ tumejipaka zile dawa za kuua mbu usku mara kibao pale ulipokuwaa unapapendaa
 
Kwahiyo umeshayatuliza ya moyoni nataka kuja WhatsApp kutuma vn.
Whatsap hapana zitakuja sms 40 mfululizooo...hapa hapa leo zamu yangu najuaa baadae utaanza kumuimbia baby wako...huku ukiniumiza maksudiiiii

Umesahau niligongaa gar ya mtu kwa nyuma πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nikitafuta parking nzuri maeneo ya ........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…