Nssf wapigaji tu
Mwenye nacho anaongezewaa
KumbeeeeeUNAAMBIWA Ni kosa kumtumia Mtu ujumbe mfupi wa matangazo ya kibiashara au huduma flani ya kibiashara bila ridhaa yake (sms), adhabu ni faini isiyopungua milioni 10 au Jela mwaka mmoja au vyote kwa pamoja, hii ni kwa mujibu wa Sheria ya Miamala ya kieletroniki ya mwaka 2015 Tanzania. (@avis.legal )View attachment 1669633
Duuuuuh sema sheria zipo ili zivunjweeUNAAMBIWA Kwa mujibu wa Sheria ya kanuni za adhabu Tanzania sura ya 16, ni kosa kwa Mtu yeyote kuomba pesa mtaani pasipo kuwa na kibali kutoka Ofisi ya Mkuu wa Wilaya au Polisi, adhabu yake ni Jela miezi mitatu au mwaka mmoja. (Avis Legal)View attachment 1669634
Jambo jemaBeki wa Azam FC na Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars Aggrey Morris atacheza mechi yake ya mwisho na kuagwa Taifa Stars January 10 2021 kwenye mechi ya kirafiki vs Congo DRC uwanja wa Mkapa Dar es Salaam.
Morris anaagwa baada ya kuomba kustaafu kuichezea Timu ya Taifa ya Tanzania ambayo alikuwa akiichezea toka 2010 kwa vipindi tofauti.View attachment 1669635
Jana ulipiga kelele za magazetiMwenye nacho anaongezewaa
Nashukuruuu mkuu...nimeyapata na kuyasomaJana ulipiga kelele za magazeti
Hayo hapo sasa
Hahhaha naingia job jioni hivi hiyo ya kwenda taifa imetoka moyoni kabisaNashukuruuu mkuu...nimeyapata na kuyasoma
Twende kwa chikwendee
Kabisaa wala sio uongoooHahhaha naingia job jioni hivi hiyo ya kwenda taifa imetoka moyoni kabisa
Hahaha ningekuwa free tungeendaKabisaa wala sio uongooo
Kweli unaingia jioni ? Niko seriously ujueeeHahaha ningekuwa free tungeenda
Naingia jioni tungeenda tuKweli unaingia jioni ? Niko seriously ujueeeView attachment 1669649
Sawa mkuu wangu ntakubahatisha siku nyingneNaingia jioni tungeenda tu
Sina namna wacha nipambane na hali yanguMkuu bwana
Kumbe kuna sheria hiyo.UNAAMBIWA Ni kosa kumtumia Mtu ujumbe mfupi wa matangazo ya kibiashara au huduma flani ya kibiashara bila ridhaa yake (sms), adhabu ni faini isiyopungua milioni 10 au Jela mwaka mmoja au vyote kwa pamoja, hii ni kwa mujibu wa Sheria ya Miamala ya kieletroniki ya mwaka 2015 Tanzania. (@avis.legal )View attachment 1669633