UEFA timu AtleticoPichichi tusha chukua sana ngoja dogo naye apate mwaka huu, aje aguse UEFA aone cr7 ana beba
Naona kule hamzungumzii kabsaa
mwanzo wakat anakuja mlimsifia sana kama mlivyompa sifa Depay kuwa ni zaid ya Neymar kumbe yy na kocha wake magarasa
Hahaha
Ila sasa apo Morocco ndo shda tena
Mi niko real , la undecimaUEFA timu AtleticoMadrid lazma aumie
Tatzo Depay alipewa sifa ambazo si zake yy aliaazoea kina Vitese Hereveen Az Kalmar Heracles NAC Breda n.k sasa atakuja uweza mziki wa Liverfool
Depay kafulia kama babu yake naye wataondoka wote
wewe hata uwe wapi ila Atletico Bingwa wa UEFAMi niko real , la undecima
Hahahayani na ubilionea wake woooofe ila anapumuliwa kisogoni hapa ndipo unapojua Binadamu hana shukrani na angekuwa ni Messi duuuuuh mmeongea saaaana
HahahaTatzo Depay alipewa sifa ambazo si zake yy aliaazoea kina Vitese Hereveen Az Kalmar Heracles NAC Breda n.k sasa atakuja uweza mziki wa Liverfool
alitakiwa akanushe fununu ile ishu had Fiorentino Perez alikasirikaHahaha
Bro hzo ni rumours tuu
Fununu tuuu
kaambulia gari yake ya FerrariHahaha
Kwisha abar yake yule bhana
alitakiwa akanushe fununu ile ishu had Fiorentino Perez alikasirika
Eeehkaambulia gari yake ya Ferrari
ataanzia wapi kukanusha wakat kapost kapakatwa kwenye Instagram yake
Eb mumuache ata kanusha akitaka
yap japo used kama demu wa BrownEeeh
Nakutoka na warembo wakali
Hvo kapata
Aaahataanzia wapi kukanusha wakat kapost kapakatwa kwenye Instagram yake
Hahahaayap japo used kama demu wa Brown
Jamaa ana tsha PNC 1 atak kukubali