Makapuku Forum

Uzi wa arsenal uko elfu 48 na ushee, uko mbali sana! Kwa hiyo humu mnajadili nini??
Humu ni Makapuku Forum tunajadili Habar Mchanganyiko MF sport siasa udaku swaga za kitaa na pia kuidiscuss Fc Barcelona kwa maajabu inayoendelea kuyafanya pasipo kumsahau King Messi mzee wa kumsuuza Wenger kama 4 mguuni mwake
 
Humu ni Makapuku Forum tunajadili Habar Mchanganyiko MF sport siasa udaku swaga za kitaa na pia kuidiscuss Fc Barcelona kwa maajabu inayoendelea kuyafanya pasipo kumsahau King Messi mzee wa kumsuuza Wenger kama 4 mguuni mwake

Ooooh!
Hapo sawa, nilikuwa najiuliza huu uzi kuna nini wanajadili mbona unakimbia sana??
Hongera zako kwa kubeba ndoo ya la liga!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…