NmekumisAchana nae babe
Weeee achaaaaaMjombaa baharia anapambana, kutoka kwenye Comedy hadi kuja na vichwa vya magazeti asubuhi..
Mjombaa baharia anapambana, kutoka kwenye Comedy hadi kuja na vichwa vya magazeti asubuhi..
Hivi baba wawili na wewe unashangilia kweli tuje kuanikwa huku tukigombana na babe wangusio poa hvyo shunie
Mjombaa baharia anapambana, kutoka kwenye Comedy hadi kuja na vichwa vya magazeti asubuhi..
Hamna jema nyie watu mnaletewa yanayoendelea na babe wangu nitamzuia asiweke magazeti baba wawili
Mzee wa chura atakuwa mpatanishaji mzuri tuHivi baba wawili na wewe unashangilia kweli tuje kuanikwa huku tukigombana na babe wangu
Kila lenye kheri mjombaa baharia..Weeee achaaaaa
Kumbe kuna kumiss kiungo uongoNakumiss pia babe kiukweli ukweli yaani unaendelea poa eti
Kwakweli nitamzuia baba wawili magazeti yenyewe hamsomi mnaletewa apa mmeanza kumsema babe wanguaah usifanye hvyo shunie
Atakuwa mpatanishi kweli ila akitoka hapo yite yanawekwa makapuku baba wawiliMzee wa chura atakuwa mpatanishaji mzuri tu
Kumbe kuna kumiss kiungo uongo
Kwakweli nitamzuia baba wawili magazeti yenyewe hamsomi mnaletewa apa mmeanza kumsema babe wangu
Hahahha mwacheni aweke vyote ili awafurahishe jamani mpate habari zinazoendelea dunianibabe wako hatumuelewi, leo comedy kesho magazeti,, kuna siku tutatangaziwa mpira hapa, amini hilo
Dah..mjombaa, umesahau juzi tu hapa nmekupigania..
Hamna jema nyie watu mnaletewa yanayoendelea na babe wangu nitamzuia asiweke magazeti baba wawili
Nakumiss pia babe kiukweli ukweli yaani unaendelea poa eti
Atakuwa mpatanishi kweli ila akitoka hapo yite yanawekwa makapuku baba wawili
Jamani kwamba yeye ndio kasababishakweliiiii mpka naitwaaa baby ya moyon