Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,638
Eti Ngedere yukwapi ?
............
Eti Ngedere yukwapi ?
Wakachukue sukari guru kwa BitozKweli sukari imeadimika.
kaenda kutafuta sukariEti Ngedere yukwapi ?
............
Ukuye nikufundishe lingala mobali yo tesa ku mtima wangu???Motema
Wakuu habari za Sunday..
Leo baada ya kunywa juice yangu ya ukwaju nikipoza hang over ya jana. Ghafla inaingia text ya rafik angu, Mkuu unamkojoza joza nani weekend hii...
Nimeangua kicheko mpaka msupa pembeni angu ambaye muda wote hakuwa na time na mimi akatabasam. Kichwani nikawaza na kutoa tabasamu kwa mbali, nikaanza changanua huu msamiati KOJOZA.
KOJOZA, KOJOZWA, KOJOZANA, KOJOZEA, KOJOZEANA ......
Bado napambanua hili neno adimu lenye ladha ya pwani ya Tanga. Tisa kumi usiombe mpenzi wako akojozwe na mwingine.
NB. Ukuje pole pole.

Van gaal must go
Hahahahahaha ni shiiiidafair play basi...
Uncle wako ni soo![]()
Watakuua
![]()
![]()
![]()
![]()
...........
PouaView attachment 347947
Hapo vepe
Neh!Ukuye nikufundishe lingala mobali yo tesa ku mtima wangu???
yap ni lazima asepeVan gaal must go
Cc Wasafiri kafiri
Team gadnaaaa ........!!!Wakuu habari za Sunday..
Leo baada ya kunywa juice yangu ya ukwaju nikipoza hang over ya jana. Ghafla inaingia text ya rafik angu, Mkuu unamkojoza joza nani weekend hii...
Nimeangua kicheko mpaka msupa pembeni angu ambaye muda wote hakuwa na time na mimi akatabasam. Kichwani nikawaza na kutoa tabasamu kwa mbali, nikaanza changanua huu msamiati KOJOZA.
KOJOZA, KOJOZWA, KOJOZANA, KOJOZEA, KOJOZEANA ......
Bado napambanua hili neno adimu lenye ladha ya pwani ya Tanga. Tisa kumi usiombe mpenzi wako akojozwe na mwingine.
NB. Ukuje pole pole.
mnatutesa jamani inabidi tuombe pooHahahahahaha ni shiiiida
Unapendaeeeh???