Makapuku Forum

Ngabu utaelewa vipi jamani wewe unachungulia na kusepa

Heeey Shualina, mambo? Uko poa?

Long time no see!

Hivi inakuwaje lakini mimi nipo humu toka mwanzo lakini wewe umenipita kwa idadi ya mabandiko?

Kuna wakati flani hivi mimi ndo nilikuwa na mabandiko mengi zaidi kushinda watu wote JF.

Sasa sidhani hata kwenye tano bora ya mabandiko mengi nipo.
 
Mabandiko yangu ni humu makapuku na entertainment kwenye story Ngabu
 
List hiyo apo Ngabu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…