Niko apa sijui mfipa wangu anakwama wapi jamani anikomeshee mtu
Ngabu utaelewa vipi jamani wewe unachungulia na kusepa
Niwaaache
Naona unakaziaa
Mbona kukomeshwaa!! Sipati picha nitahamia kwako nikijidai ni kiranga cha mimba
Mabandiko yangu ni humu makapuku na entertainment kwenye story NgabuHeeey Shualina, mambo? Uko poa?
Long time no see!
Hivi inakuwaje lakini mimi nipo humu toka mwanzo lakini wewe umenipita kwa idadi ya mabandiko?
Kuna wakati flani hivi mimi ndo nilikuwa na mabandiko mengi zaidi kushinda watu wote JF.
Sasa sidhani hata kwenye tano bora ya mabandiko mengi nipo.
List hiyo apo NgabuHeeey Shualina, mambo? Uko poa?
Long time no see!
Hivi inakuwaje lakini mimi nipo humu toka mwanzo lakini wewe umenipita kwa idadi ya mabandiko?
Kuna wakati flani hivi mimi ndo nilikuwa na mabandiko mengi zaidi kushinda watu wote JF.
Sasa sidhani hata kwenye tano bora ya mabandiko mengi nipo.
SikuwachiiiNiwaaache
Kiranga cha mimbaUhamie kwangu na kazi unamwachia nani eti
Nani amekupm etiList hiyo apo NgabuView attachment 1241884View attachment 1241885
List hiyo apo NgabuView attachment 1241884View attachment 1241885
Mama kija mtarajiwa bwana una vitukooSikuwachiii
Kiranga cha mimba
Hawataniona kazini mpaka namleta mtu kwa dunia
Halafu nilijua tu lazima utauliza hili swali yaani nilijuaNani amekupm eti
Hahaaa duuh!
Mzee Ruta anatisha.
Mabandiko 169,000+...????
Na kanikuta humu.
Halafu nilijua tu lazima utauliza hili swali yaani nilijua
Umeona eeehhMecheka sana mimba imepata mbebaji