Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Binamu najua ww ndo umesababisha mijitu ijiite mabahariaKwani na ww ni baharia
Binamu najua ww ndo umesababisha mijitu ijiite mabahariaKwani na ww ni baharia
BosiiiBinamu nyimbo yangu pendwa hiitanteeeeee
Binamu fanya kunitumia na mimiHappy furahiday Makapuku wote. Ndugu yenu niko mahali wanauza imported beer ambazo zitaexpire ndani ya wiki. Yaani sio mambo ya buckets bali jacuzzi kabisa. Elfu 20 unapata crate zima na icecubes wanakuletea. Nafanya kunywa kabla ya tarehe ya mwisho
tunywe wote zilizoexpireHa ahhahaha, aunt bhana, hizi ni soda za ukwaju toka nje.Binamu fanya kunitumia na mimitunywe wote zilizoexpire
Hahahah nimekumiss pia binamu yangu kipenziHa ahhahaha, aunt bhana, hizi ni soda za ukwaju toka nje.
Uko mzima lakini!? Miss you ndo nachoweza kukwambia kabla sijaagiza shot ya fireball


binamu usiniambie ule ukwaju mpya wa bakhresaHahahah nimekumiss pia binamu yangu kipenzibinamu usiniambie ule ukwaju mpya wa bakhresa
Hahahaha, nani wakuniteka sasa mpz ,zaidi yako , ( sorry ulimi hauna mfupa ) nimekoseaWe mzee mtuchake umetekwa au nataka nikuwekee je wajua yako

Shemela wangu mimi peke yangu nimekumiss ujueShemela wa mimi
Hahahahaha mbona ulipotea sasa we mzeeHahahaha, nani wakuniteka sasa mpz ,zaidi yako , ( sorry ulimi hauna mfupa ) nimekosea
Weka nasubiri 'segment' yangu pendwa
Hahahaa naona unalinda jukwaaAmkeni ,mkasali JUMUIA
MTC | 101|![]()
Niko apa nakusalimiaBosiii
Nipo shangazi ,niambie za week end vipiHahahahaha mbona ulipotea sasa we mzee