Makapuku Forum

....binamu salama ndugu yangu! Mapumziko ya 8-8 yanaendelea vipi.?

#FreeMtotoMlitofromguesthouse#

Hivi hashtag unaipataje!?
Salama binamu yangu,habari za huko?mapumziko yanaendelea vyema kabsa...

Hahah hiyo hashtag binamu

Binamu kila kitu unakuwa wa mwisho kujua acha jirani ABJ aje akusaidie
 
Salama binamu yangu,habari za huko?mapumziko yanaendelea vyema kabsa...

Hahah hiyo hashtag binamu

Binamu kila kitu unakuwa wa mwisho kujua acha jirani ABJ aje akusaidie
.....ha ahhahaha, unajua binamu nikisema ushamba mzigo tafadhali usisikilize zile clip za kina Kinana wakimsema mzeewangoma. Mimi mambo ya hashtag nitajua baadaye nikikaa na telemundo ABJ anipe semina elekezi
 
.....ha ahhahaha, unajua binamu nikisema ushamba mzigo tafadhali usisikilize zile clip za kina Kinana wakimsema mzeewangoma. Mimi mambo ya hashtag nitajua baadaye nikikaa na telemundo ABJ anipe semina elekezi
Ha haha binamu,,omba mtekaji amuachie jirani yangu huko aliko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…