Makapuku Forum

Makapuku Forum

...kwema sana binamu, hofu kwako na family.

Mimi ni mzima kabis na no complains.

Hivi binamu unaijua twitter (wanatamka twila sijui)?

Je iko kama instagram au telegram (hii telegram imerudi tena ukubwani ilikuwepo wakati nasoma nyanda za juu kusini)
Niko salama binamu,familia iko salama pia,wanakusalimia wawili

Haha hiyo twila imefanyaje binamu?ndio huko unakouza koroshow zako?

Hii telegram naisikia ndio binamu,wanadai ni nzuri na salama kuliko hata wasapu
 
...kwema sana binamu, hofu kwako na family.

Mimi ni mzima kabis na no complains.

Hivi binamu unaijua twitter (wanatamka twila sijui)?

Je iko kama instagram au telegram (hii telegram imerudi tena ukubwani ilikuwepo wakati nasoma nyanda za juu kusini)
Shikamoo binamu
 
Back
Top Bottom