Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,166
HahahhahahaHa hahahaha, duh, nimecheka sana, hii ndo breakfast ya kina kazinyingi
HahahhahahaHa hahahaha, duh, nimecheka sana, hii ndo breakfast ya kina kazinyingi
Haahhahaha nitampa mganga wake kama kweli kanipa limbwata nimpende anko wakoHa ahahaha, akili yako haina akili, ha ahahaha, ukimpa hela nistue niende kumuomba assist
Hahahaha wapi huko binamu...ninachangia muda huu, mwenzenu niko ugenini nimelala sebuleni kama baiskeli ya mgeni
...huyu mwanamke nampenda sana yaani najitahidi mama yenu asijueWoyoooo watu na telemundo wao
....niko huku Ruangwa, nimekuja tu kusalimia jamaa lakini inaonekana walidhani nimekuja na hela za korosho. Wananikomoa kunilaza sebuleni sasa ndo watashangaa wakiamka wananikuta nishaamka kitambo nasoma news hapa jukwaaniHahahaha wapi huko binamu
Mhhh bas bhan.....nawewe unazo nn??Ujue kapuku ni jina tu sio watu ni makapuku, watu wa humu wana mahela
Hahaha telemundo huyuhuyu ninayeljua binamu au kuna mwingine...huyu mwanamke nampenda sana yaani najitahidi mama yenu asijue
Ninazo za kunitosha mwenyeweMhhh bas bhan.....nawewe unazo nn??
Mhhh sasa si ndo unayo mahela na wewe...Ninazo za kunitosha mwenyewe
huyu.jamaa nimeona kawekewa R.I.P kwenye profile yake,is he real no longer?kuna wakati kuna vitu vinajitokeza kwa makusudi katika haya tunayofanya humu ndani.. Wengi tunawapa ustar Usiostahili.. Hawana wanachokiandika zaidi ya ujinga.. Tupo hapa kujenga na kurudisha Heshima ya Jf nzima... Hatuwezi kuwapandisha wale wasiostahili.. Tusimame imara
MwenyeweHatujambo Dada shikamoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nipo lindo mie
Mzima[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaap he has gone forever i think mwaka Jana au mwaka juzihuyu.jamaa nimeona kawekewa R.I.P kwenye profile yake,is he real no longer?
Mzima kabisaaaMzima
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...kama mimi nina mahela hadi serikali imeamua kunikopa korosho zangu kwa kuwa wanajua sina shida ndogo ndogo.
Waulize kina Tumosa na binamu ningendako hawa wanajua nina hela na nikaaahidi atakayeniunganishia Wema Sepenga basi ninampa hela ya kununua Toyo mpya, cash bin taslimu
Yeahhuyu.jamaa nimeona kawekewa R.I.P kwenye profile yake,is he real no longer?
duuh noma sanaYeah
Duuh,kweli the world is not our home....Yaap he has gone forever i think mwaka Jana au mwaka juzi