Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Hyo inatufaa tulopanda vyeo tuWacha weeh mama mpandishwa vyeo nimeipenda avatar natamani nikuibie



Vipi mzima
Hyo inatufaa tulopanda vyeo tuWacha weeh mama mpandishwa vyeo nimeipenda avatar natamani nikuibie



Unaumwa nn etiMm niko naumwa
MfyuuuuNawakandia baba wawili au nawaambia ukweli
Mm niko naumwa
Naumwa malaria baba wawili
Unaumwa nn kibonge mwepesi
Mm niko naumwa
Asee pole Sana ,nisamehe kwa kuchelewa kukupa pole, nilikua busy na game ya Leo ya vijana Wangu ,ingawa tumetolewaNatumia baba wawili
Asa nionyeshe unanyonga je
Nyonga, nyonga kibasikeli
Nyonga kaa kibasikeli
Nyonga kama kibasikeli
Ah kiuno kifanye pedeli
Nyonga, nyonga kibasikeli
Nyonga kaa kibasikeli
Nyonga kama kibasikeli
Naona mgonjwa ana nyonga kibaiskeli huko wodini,hahahahaAsa inama
Ebu pinda mgongo(ooh mgongo)
Oya inama basi pinda mgongo
Asante nimeshapoaAsee pole Sana ,nisamehe kwa kuchelewa kukupa pole, nilikua busy na game ya Leo ya vijana Wangu ,ingawa tumetolewa
Hahaah sijalazwa bwanaNaona mgonjwa ana nyonga kibaiskeli huko wodini,hahahaha
MalariaUnaumwa nn eti
Mbona nimeshaiiba nasubiri siku uibadili niiweke kwanguHyo inatufaa tulopanda vyeo tu
Vipi mzima
PoyeeeMalaria