marybaby
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 3,260
- 9,197
Hapana dadaJamani si unakunywaga wine
Hahaha hahaha
Pole sana baba NaaaTayari kidole kina bandeji...
Na naendelea kushangilia kama kawaida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa baba lai
Hahaha hahaha hahaha
Hahaha hahaha
Habari za Jumapili yako
Jumapili njema

Habari yako rafikiJumapili njema
MTC | 101|![]()
Habari yako rafiki

Nzuri kabisaaa, jumapili ya pili leo baada ya kwaresma kuanza baba Naa
Wazee wa bien coma cava wamechezeshwa dombolo ya solo pale taifa..Nzuri kabisa, naona jpili umeanza bien
MTC | 101|![]()


Nimeianza na MunguNzuri kabisa, naona jpili umeanza bien
MTC | 101|![]()
Haya
Sawa rafikiVzr Sana Rafiki
MTC | 101|![]()
Hahahaha, nimeona Jana asee ,hongera Simba ,hao jamaa huwa wanatufunga sana sie Tp MazembeWazee wa bien coma cava wamechezeshwa dombolo ya solo pale taifa..
Sent using Jamii Forums mobile app
