Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Nimejikutaa naulizaaaKwa nn umeuliza
Nimejikutaa naulizaaaKwa nn umeuliza
Hahaha hahaha hahahaHahhahaha ebu nikumbushe



Woyooooo insta babe hatimaye umekuja kwetu karibu sana huku ndio ninapopatikana kijiweni kwetu
Mtajuana hukooo
Huyo sio T bana... Kwani hujamuona T huko juuu
Uko siliasi mpaka naandika nafuta naandika tena nafuta....Hahahaa, hapana mkuu.
Ni muda sijapitia chit-chat huku..
Mambo yamebadilika sana mkuu.
Mwenyewe naona utofauti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu kamzoom hukoooSijamuonaaa

Uko siliasi mpaka naandika nafuta naandika tena nafuta....
Usikuwe hivyo mkuu, mie naogopa sana watu siliasi
Nataka kujua kwa nn Boss wangu ameulizaKwani hajamuona T huko juu
Mmmh... Mkuu legeza kidogo jamaniii
niko poa insta babe .... asante sana kumbe huku ndio unapojifichaga eeeehWoyooooo insta babe hatamaye umekuja kwetu karibu sana huku ndio ninapopatikana kijiweni kwetu
Uko poa lakini
Sijui hataNataka kujua kwa nn Boss wangu ameuliza
Jamani jamani wewe si ndio boss wanguBwana sema ukwelii ...alafu mm shunie ndo boss wangu
Hahahhahaha pole sana ushauri wangu natumai ulizingatiaHapana boss ila nimesogeaa angalau inasoma E
Hahhaha mkali wwMtajuana hukooo
Huyo sio T bana... Kwani hujamuona T huko juuu
Hahhaha T yupoNimejikutaa naulizaaa
HahahahahahahNataka kujua kwa nn Boss wangu ameuliza
UmeanzaaaJamani jamani wewe si ndio boss wangu
Mbona mm huniogopi na mm niko siliasiUko siliasi mpaka naandika nafuta naandika tena nafuta....
Usikuwe hivyo mkuu, mie naogopa sana watu siliasi