Hapana mamy " mimi kwako huwa sithubutu kuuruhusu ulimi wangu ukutamkie uwongo " siunajua vile ambavyo kwako nimpofu wa penzi lako " so naanzia wapi kuwa na tabia mbaya kama hiyo mimi ..naanzaje kumuongopea mwanamke nimpendae chini ya hili jua
Sent using
Jamii Forums mobile app