Makapuku Forum

Vumilia tu mwishoni utakula malaki tu woiiiii
binamu Obe alivyo habebeki sasa utambeba atakuja kukutupa

...hivi aunt kwanini hurudishi wewe kwa wema, mimi kila siku nasemaga mambo mazuri kuhusu wewe, siku nyingine naendaga hadi kwenye msikiti wa hapa nashika spika natangaza sifa zako nzuri kabla ya swala. Ila sasa wewe unapenda kuniharibia, mimi nabebeka sana, tena akinibeba ABJ nakunja na miguu, nasinzia

 
toka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...mimi hayajanikumba, niamini, nimepewa stakabadhi ila kulipwa bado. Nisipolipwa nahamia Mara kulima mtama watu wanywe uji.

Hujambo lakini mrembo wangu, nimekumiss kama alhamis yaani
Hahaaha hiyo stakabadhi ndo tutanunulia mboga? Ukihamia Mara michepuko yote itakukimbia
Mimi sijambo kabisaa Kama unavyoniona

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…