Mama JJ, nawaona na humu wewe ndo ndugu yangu ninayekuamini.
Mambo yangu yakikaa sawa, basi zawadi nitakununulia bonge la zawadi. Utakunywa fursana hadi washangae sana
...kuwa mtulivu, utakunywa sana hadi bundi wa nbungeni aje kukushangaa, fursana ni moja ya vitu vya anasa, ni aghali na nikumbushe tena msimu wa sikukuu ya mwaka mpya nione kama ninaweza kukununulia japo moja mgawane na kina anko. Wewe ni ndugu yangu
...kuwa mtulivu, utakunywa sana hadi bundi wa nbungeni aje kukushangaa, fursana ni moja ya vitu vya anasa, ni aghali na nikumbushe tena msimu wa sikukuu ya mwaka mpya nione kama ninaweza kukununulia japo moja mgawane na kina anko. Wewe ni ndugu yangu